Friday, September 14, 2007
SOLO....Ni mwana...Hip hop...Halisi...!!!

Hiyo imejidhihilisha kutokana na kazi zake nyingi kuwa si za kubahatisha kimziki....
Solo thang...amba kwa sasa yupo nchini UK...kwa masomo...lakini bado anaendeleza mziki huko huko alipo...inatokana na kuwa fani hiyo ipo ndani ya damu yake....Solo...anatarajia kurudi mapema iwezekanavyo...
Na amewahaidi watanzania kurudi na Kazi alizofanya huko UK..
Manati...ya GK...kufananishwa na ya KIPEPE...Ni sahihi...???

kAULI HIYO ILITOLEWA NA MOJA YA MAHASIMU WA KUNDI HILO LA EAST COAST...YAANI TMK WANAUME HALISI..
NAMZUNGUMZIA...KIBLA AU SIR NATURE.....ALITOA KAULI HIYO KWA MOJA YA WAANDISHI WA HABARI WA GAZETI FULANI NA KURUSHWA HEWANI KUPITIA GAZETI HILO.....SIR NATURE ALISEMA...'MANATI YA GK NI SAWA NA YA KIPEP'
SWALI JE NI KWELI PIGA MANATI YA GK HAIJABAMBA....???
Wednesday, September 12, 2007
Monday, September 10, 2007
Ni kweli....kuwa...WACHEZAJI ...wetu...wa TAIFA STARS...wawatake radhi mashabi....???
Swali hili linaulizwa kufuatia kufungwa kwa timu yetu....na MSUMBIJI..kwa bao moja bilaa!!!Baada ya hapo moja ya mashabiki matata sana...alisema kuwa TAIFA STARS....iwatake radhi mashabiki wake.....kauli hii imejitokeza baada ya kuwa...pamoja na wafadhili na wananchi kwa ujumla kujitahidi kutoa ahadi mbali mbaili,misaada na ushirikiano wa hali ya juu lakini....wapi...bado tunafungwa...
Monday, September 3, 2007
Friday, August 31, 2007
Saturday, August 25, 2007
Friday, August 24, 2007
Wednesday, August 22, 2007
Monday, August 20, 2007
Friday, August 17, 2007
Thursday, August 16, 2007
haya mimi simjui huyu nani.....! kazi kwenu wakubwa...!
unique sisters.....wana dada ambao ni hatari wakiwa...jukwaani...!
D' Nob....kijana aliyeleta heshima ya kiwalani katika Hiphop...!

Tabia mbaya inayoendelea kujitokeza ni pale vijana wa uswahilini kwetu....KIWALANI....kujitenga na wenzao,kujiona bora nakujiona wamefika pale wanapoanza kidogo kuonesha mafanikio kwenye gemu la rap.....
Hii inapelekea kutofika mbali na kusahaulika....kaa ukijua ukijisahau na watu pia wanakusahau pia....
GWM ilikuwa moto wa kuotea mbali....

Takribani miaka mingi tu imepita tangu kundi hili la GWM livunjike.....lakini bado wapenzi wa muziki huu wa kizazi kipya bado wanakumbuka manjonjo ya kundi hilo..
Kwani hata mimi nakumbuka show yao iliyoleta balaa pale Coco beach mpaka kufikia washabiki kudondosha Maspika...ilikuwa Beach part ya mwisho kufanyika jijini DSM.....ilikuwa nooma....!!!!!
Ni kweli mtu mzima Fid Q....ananyimwa usingizi na Rado???
Wakali wa iliyokuwa ikitwa Gangwe Mobb.....
Wednesday, August 15, 2007
Tuesday, August 14, 2007
Ndege akipuluchuka....toka tunduni....huwa noooma...!!!!!

Haya tena.....kama ilivyo kawaida si rahisi kumnyonya mwanadamu kimasrahi....mpaka mwisho wa maisha yake.
hii imejidhihilisha wazi baada ya - kijana Sir Nature kupuruchuka toka tunduni na kuwa na kiota chake na wenzake ambao wameona watoke TMK wanaume kwa Saidi Ferra......na kuunda kundi la wanaume halisi...
Usafili wa Jiji la Dar es salaam ni noma...!
Uchunguzi umeonesha kuwa ingawa kuna mabasi mengi jijini DSM,lakini usafili umeonekana kuwa ni tatizo kwa wakazi wa jiji hilo.....!
Na hapo inaoneshwa kijana huyo baada ya kuwa basi limejaa mpaka kupitiliza hali iliyomfanya kudandia basi hilo kwenye bomba ya nyuma....Hii ni kutokana na kutaka kuwahi shughuli zake za kila siku....
TMK wanaume....Hapa kazi tuu!!!
Monday, August 13, 2007
Watanzania tusichezee Amani tuliyo nayo...!
Ebwana eeh!!! huyu msela hapo..kama yupo kiwanja kumbe...!!!
duh! kweli hii noma,msela katoka kama yupo kiwanja.....kumbe ukweli kuwa yupo chuoni morogoro...kwa wanachuo wenyewe wanpaita beach....hii ni kutokana na eneo hilo kuwa na mandhari kama ya beach....pako bomba mbaya kama hujafika unashauriwa utembelee siku moja ili ujionee mwenyewe....!
Na kubwa kuliko yote huyu msela ndiyo mwezeshaji wa hii Blogspot.....anaye sababisha ujipatie mambo mbali mbali katika maisha ya kila siku ikiwemo habari moto moto.....!!!!!
Hukoo! mimi sipo maana nyie mwaita mgongo mgongo...!!!!
haya mimi sitii nenooo...!!!!!
Sunday, August 12, 2007
oya masela huu ujio si wa kitoto!
oya masela huu ujio wa kiutu uzima,hivyo kaani mkao wa kula ili mjipatie ma news babu kubwa....
Yaani si kitoto...si mnajuwa tena masela.....!
Yaani si kitoto...si mnajuwa tena masela.....!
Subscribe to:
Posts (Atom)

























