Thursday, August 16, 2007

Ni kweli mtu mzima Fid Q....ananyimwa usingizi na Rado???


Vijana wapya katika Gemu la mziki wa kizazi kipya wameonekana kuwakosesha usingizi wakongwe....kwani huibuka wakiwa wamiva nakutaka kunyakuwa nafasi za juu....kitendo ambacho huwanyima usingizi wakongwe hao...Ushauri wa dezo ni bora waongezr bidii ili kulinda nafasi zao wasije wakaanguka.

No comments: