Haya tena watu wangu, ndiyo kama mnavyoona tena msimame mkae....Kazi ipo.....Mbishe mkubali kazi ipo.....!Uchunguzi umeonesha kuwa kundi hili limeonekana kuwa na jitihada sana kwenye kazi zao za muziki wa Bongo fleva.....
Hivyo nami nasema kazi ipo...!
No comments:
Post a Comment