Thursday, August 16, 2007

Wakali wa iliyokuwa ikitwa Gangwe Mobb.....



histolia ya mziki wa kizazi kipya imeonesha kuwa wengi wao....Wanamuziki wa muziki huu wa hiphop....wameonesha kufanya vizuri zaidi wanapokuwa kwenye makundi...ingawa ni mbaya kwao kwa sababu za kimasrahi kwani hupunjika zaidi wanapokuwa kwenye kundi,kuliko wakifanya kazi kama Solo artist...

No comments: