Monday, August 13, 2007

Watanzania tusichezee Amani tuliyo nayo...!


haya ndugu zangu watanzani,suala la amani na utulivu ni kitu muhimu sana...
Ona hawa ni waafrika wenzetu wa Sudan ambako kuna machafuko ya kisiasa na vita.....
Hapo inaonesha jinsi watu wanavyoathilika na machafuko hayo pamoja na kupoteza maisha na mali za wakazi.

No comments: