Thursday, August 16, 2007

GWM ilikuwa moto wa kuotea mbali....


Takribani miaka mingi tu imepita tangu kundi hili la GWM livunjike.....lakini bado wapenzi wa muziki huu wa kizazi kipya bado wanakumbuka manjonjo ya kundi hilo..
Kwani hata mimi nakumbuka show yao iliyoleta balaa pale Coco beach mpaka kufikia washabiki kudondosha Maspika...ilikuwa Beach part ya mwisho kufanyika jijini DSM.....ilikuwa nooma....!!!!!

No comments: