
Haya tena.....kama ilivyo kawaida si rahisi kumnyonya mwanadamu kimasrahi....mpaka mwisho wa maisha yake.
hii imejidhihilisha wazi baada ya - kijana Sir Nature kupuruchuka toka tunduni na kuwa na kiota chake na wenzake ambao wameona watoke TMK wanaume kwa Saidi Ferra......na kuunda kundi la wanaume halisi...
No comments:
Post a Comment