Tuesday, August 14, 2007

Ndege akipuluchuka....toka tunduni....huwa noooma...!!!!!


Haya tena.....kama ilivyo kawaida si rahisi kumnyonya mwanadamu kimasrahi....mpaka mwisho wa maisha yake.
hii imejidhihilisha wazi baada ya - kijana Sir Nature kupuruchuka toka tunduni na kuwa na kiota chake na wenzake ambao wameona watoke TMK wanaume kwa Saidi Ferra......na kuunda kundi la wanaume halisi...

No comments: